Na Mwenyekiti
NEW
YORK (Reuters Health) – Mama ambao wananyonyesha kwa kipindi ambacho
kimeshauriwa inaweza kupunguza hatari ya kupata ugonjwa wa msukumo wa damu
baadae.
Utafiti
umegunduwa kuwa kunyonyesha sio kuwa inamfaidisha mototo tu bali pia na mama.
Kwa
ujumla wataalamu wanasisitiza kuwa motto anyonyeshwe maziwa ya mama tu kwa muda
wa miezi sita ya mwanzo baadae unaweza kumpa pamoja na maziwa ya ngombe ya
kawaida mpaka afike mwaka mmoja.
Maziwa
ya mama yanamsaidia mototo dhidi ya maradhi mengi kama kuharisha (diarrhea) na mengineyo. Lakini pia
kuna ushahidi unaoonyesha kuwa kunyonyesha kunamsaidia pia mama kujikinga na
baadhi ya maradhi tofauti.
Utafiti
umeonesha kuwa kunyonyesha kunapunguza hatari ya kupata kisukari (diabetes),
wingi wa mafuta (high cholesterol) na maradhi ya moyo katika siku za baadae.
ADB
ADB
SOURCE: American Journal of Epidemiology, online October 12, 2011.
No comments:
Post a Comment