Wednesday 28 December 2011

Pesa Yetu hiyo kabla ya Muungano

Pesa ya Zanzibar Kabla ya uhuru na pia kabla ya muungano








Mimi hapa nimegunduwa kitu ambacho ni muhimu sana, hebu tizameni hawa watu walivokuwa wanachuma karafuu hapa ni 1916, walikuwa wanatumia ngazi kama majukwaa ila hebu tutizameni leo hii watu wanachuma karafuu kwa kuupanda mkarafuu wenyewe, nawaulizeni tuu jee wao hamuoni walikuwa wako more advanced kuliko sisi? na hapa jee tatizo la vifo na majeruhi zitakuwepo?

No comments:

Post a Comment