Saturday 9 March 2013

Sympathy ya wakenya yamnyanyuwa Kenyatta

Rais Kenyatta akipiga kura
Inavyoonekana katika uchaguzi wa Kenya ni jinsi gani wananchi wa Africa wasivokuwa na imani na mahakama ya kimataifa, duru nyingi zilimpa nafasi Odinga kuwa angeshinda kirahisi hasa ukitizamia kuwa Kenyata anakabiliwa na mashitaka kwnye mahakama ya ICC. Lakini wananchi wa Kenya wamemchaguwa mtuhumiwa kama vile ni kuionesha mahakama hiyo kuwa huyu munaemshitaki kwetu sisi ni lulu. Na tunasubiri tuone jee nchi za kiafrica zitamuunga mkno Kenyata au Marekani na mataifa mengine ya ulaya ambayo yalionesha wazi kumuunga mkono Raila Odinga? Nawapongeza wakenya kwa uzalendo halisi wa kujali utu wao na kutokuburuzwa na mataifa yasiyowapendelea mema. Tungojee tuone.Mungu ibariki Africa

No comments:

Post a Comment